MENEJA wa Arsenal, Arsene Wenger leo atamuanzisha langoni kipa wake David Ospina katika mechi yao dhidi ya Bayern Munich itakayopigwa leo usiku mjini Munich nchini Ujerumani.
![]() |
| Takwimu za makipa watakaoanza mchezo wa leo. |
Mechi hiyo ya hatua ya 16 bora ya Michuano ya Klabu Bingwa Barani Ulaya itapigwa saa 4:45 usiku.
![]() |
| Vikosi. |




Post a Comment